
Mchekeshaji huyo ambaye pia ni mjasiriamali mkubwa, ameshare picha za matukio mbalimbali akiwa shambani kwake na kuandika:
Leo shambani nikawambia vijana watulie niingie jikoni maana niliona kama wanajishtukia kupika hivi, nikawatolea kitu cha walinyama fastaaa!!!

Masanja akijiandaa kwa mapishi

Masanja akipika nguna

Ugali






Post a Comment